Posts

Mbuzi kula chakula hiki tena?

https://youtu.be/_icrC7Znucw

MICHEZO MIDOGO INAANZA KUIMARISHWA KUPITIA SHAMRASHAMRA ZA SHEREHE ZA MAPINDUZI

Image
Mchezaji Makame Juma (Ronaldo) amefanikiwa kushinda kombe la Draft Mapinduzi Cup baada ya kumfunga Azizi Abdallah (Ostadh) kwa mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Maskani ya Stone Baret iliyopo Kibanda Maiti.    Akiyafunga Mashindano hayo Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Idrissa Kitwana amesema lengo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni kuinua michezo yote ili vijana wapate fursa mbali mbali kupitia michezo.   Nae Mbunge wa Jimbo Shaurimoyo Mattar Ali Salum ambae nae alishiriki    Katika Mashindano hayo, amesema msimu ujao wanatarajia kuyaboresha Mashindano hayo kwa kushirikisha wachezaji wengi kutoka majimbo tofauti huku mshindi akitarajiwa kupewa zawadi ya Mbuzi Mnyama.    Mchezaji Aziz Abdallah ambae ameshindwa kwenye fainali amezungumza na ZBC huku akisesema Mashindano hayo yalikuwa na ushindani mkubwa ambapo amekiri mpinzani wake alimzidi kiwango.   Bingwa wa Mashindano hayo Makame Juma (Ronaldo) amesema alijiandaa...

ZYBA yajikita kuinua mchezo wa basketball zanzibar.

Image
ZYBA yajikita kuinua mchezo wa basketball zanzibar.    Wakiongea na waamdishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya inua mchezo wa basketball ambayo ilifanika kwenye skuli ya urafiki iliyopo mwana kwerekwe C wilaya ya magharibi B unguja    Katibu wa ZYBA ndugu AZIZ SALUM amesema wamaamua kulifanya hilo ili kuenzi kile walichokivuna kutoka kwa walimu ambao waliwafundisha mchezo huo .  Aziz amesema kutokana na kuona mchezo wa basketball unaelekea kushuka ndio maana wakaamua kuja na suluhisho la kuibua wachezaji kupitia mashuleni yaliyopo visiwani Zanzibar.   Nae mwalimu wa michezo wa skuli ya urafiki mwalimu ABDALA HASSAN amewaasa wanafunzi kuupenda mchezo huo ili uwaletee tija maishani, akitilia mkazo maneno yake ametolea mfano vijana wawili ambao wansoma nchini UGANDA kwa kupitia mchezo huo wakilipiwa gharama zote za masomo ambao walikuwa ni miongoni mwa walioandamana na msafara huo kama YASIR MUHAMMED ALI.    Akianzia kutoa maele...
WANAFUNZI WAMEASWA KUENDELEA NA KIADATO CHA TANAO NA SITA KWENYE ELIMU YA SEKONDARI ILI KUEPUKA USUMBUFU UNAOWEZA KUJA KUWAKUTA HAPO BAADAE WATAKAPOTAKIWA KUTHIBITISHWA NA MAMLAKA ZA ELIMU YA JUU TANZANIA HAYO YAMEELEZWA NA MKURUGENZI WA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU ZANZIBAR NDUGU   IDDI KHAMISI  KATIKA MAHAFALI YA THELATHINI NA MOJA YA SHULE YA SEKONDARI YA NYUKI TPDF YALIYOFANYIKA SHULENI KWAO MWANAKWEREKWE MJINI UNGUJA NDUGU IDDI KHAMIS AMEWAASA WAZAZI NA WANAFUNZI KUFUATA UTARATIBU WA KIDATO CHA TANO NA SITA KWANI NDIO UNAOTAMBULIWA NA MFUMO WA ELIMU TANZANIA NA KUACHA KUTUMIA NJIA ZA MKATO ZA KUTOKA KIDATO CHA NNE KWENDA DIGIRII HAUKUBALIKI NAE MKURUGENZI WA IDARA YA ELIMU YA SEKONDARI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR BI ASIA IDI ISSA AMEWATAKA WANAFUNZI KUTUMIA KIPINDI HICHO CHA KUSUBIRIA MATOKEO KUJISOMEA MASOMO YA KOMPUTER,KOZI ZA KIINGEREZA NA LUGHA NYENGINE ILI KUWAJENGEA MISINGI YA ELIMU MBELE WANAKO ELEKEA AKITOA NENO LA SHUKRANI MWALIMU ...
Image
FORO FORO FURAHA AU MISIBA? NA : HAMAI VUAI USSI Kama ambavyo wageni (sikusudii wa Bara) wanapo ingia Zanzibar aghalab hukusudia kuutembelea (mji mkongwe, sehemu za makumbusho hata za mashamba, kuona hali ya maisha ya watu kiujumla), na mwishowe kujimwaga Foro. Wageni wa nchi jirani wanapo ingia Z'bar, pia nao hukusudia matembezi ya sehemu za mji wa Zanzibar, na hatimae ni Foro. Amma sisi wenyewe Wazenj, kilele cha furaha yetu kuishi Z'bar, ni kuwepo Forodhani, kukoga, kutembea, kupiga soga, pia ndio meeting point ya wengi. Zanzibar bila ya Foro haipo. Tokea hapo kale, kukoga Forodhani au kujifundisha kukoga kwa styles zote huanzia au huishia hapo, Generation kwa generations. Kama ni hivo, Jee, municipal au serikali kwa jumla, imewahi kufikiria umuhimu wa eneo wanalokoga vijana wetu (usalama wake na unadhifu wake)? Jee hii sehemu muhimu ya bahari ambayo ni ukingo wa MAWE na ufukwe wa mawe - kokoto na machupa, tuseme serikali haioni au anatafutwa Mfadhili k...

PATA KUJUA ALICHOKIANDIKA NYALANDU

NIMEAMUA kujiuzulu NAFASI yangu ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, pamoja na nafasi zote za Uongozi ndani ya Chama kuanzia leo, Oktoba 30, 2017. HALIKADHALIKA, asubuhi ya leo nimemwandikia Spika wa Bunge, Mh. Job Ndugai, Mb., barua ya kujiuzulu nafasi yangu ya UBUNGE wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia tiketi ya CCM, nafasi ambayo nimeitumikia kwa vipindi vinne mfululizo tangu nilipochaguliwa kwa mara ya kwanza mnamo mwaka 2000 hadi Sasa. AIDHA, Nimechukua UAMZI huo kutokana na kutorishwa kwangu na mwenendo wa hali ya Kisiasa nchini, ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa HAKI za Kibinadamu, ongezeko la vitendo vya dhuluma wanavyofanyiwa baadhi ya watanzania wenzetu, na kutokuwepo kwa mipaka ya wazi kati ya MIHIMILI ya dola (Serikali, Bunge, na Mahakama) kunakofanya utendaji kazi wa Kibunge wa Kutunga Sheria na wa Kuisimamia Serikali kutokuwa na uhuru uliainishwa na kuwekwa bayana KIKATIBA. VILEVILE, Naamini kwamba bila Tanzania kupata Katiba Mpya Sasa, hakuna n...

kikosi cha wachezaji wa kike kutoka jumbi SAUTI SPORTS LADY

Image