Posts

Image
POLICE (WAZEE WA TUNISIA) NI TIMU PEKEE ILIYOSHINDWA KUTIKISA NYAVU ZA WENGINE Timu ya police Zanzibar mpaka sasa imeshacheza michezo mitano kwenye ligi kuu soka Zanzibar ikitoka sare nne za bila kufungana ambapo mchezo wa jana wakicheza na mlandege wakikubali kipigo kibaya Cha goli tano kwa sifuri. Timu yapolisi inayofumdishwa na alikuwa kocha wa kikosi cha Zanzibar under -20 Nasour Salum kidodi wadau wakisema bado kocha huyo anaandamwa na mzimu wa Karume boys wa matokeo mabaya waliyoyapata kwenye michuano ya challenge nchini Uganda Michezo mengine aliyocheza Polisi Zanzibar (Wazee wa Tunisia) Michezo Mitano #ZanzibarPL Ni; ⚽POLISI 0️⃣-0️⃣MALINDI ⚽POLISI 0️⃣-1️⃣JKU  ⚽POLISI 0️⃣-0️⃣MAFUNZO ⚽POLISI 0️⃣-0️⃣MACHOMANE ⚽POLISI 0️⃣-5️⃣MLANDEGE  Ukiachia matokeo ya Jana ilikuwa pia ni timu ya Polisi ni  ngumu kufungika . Ligi kuu Zanzibar ambayo kwasasa inaanza kupitia kipindi kigumu kutokana na kukosa mdhamini hali inayopelekea timu za Pemba mbili kushindwa kufika unguja kwenye...

LIVERPOOL NA HATIHATI YA KUONDOLEWA KWENYE KOMBE LA LIGI:s

Liverpool ipo kwenye hatihati ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Ligi (Carabao Cup) ikiwa itabainika walimchezesha mchezaji ambaye hakuwa na sifa za kucheza kwenye mechi ya juzi Jumatano dhidi ya MK Dons kwenye ushindi wa 2-0 kwenye michuano hiyo. Liverpool inachunguzwa na wasimamizi wa michuano hiyo (EFL) kufuatia madai kuwa ilimchezesha mchezaji ambaye hakuwa amekidhi vigezo vya kushiriki kwenye michuano hiyo. Kwa maana hiyo wako hatarini kufutwa kwenye kombe hilo kabla hata ya pambano lao dhidi ya Arsenal mwezi ujao kwenye kombe hilo ikiwa mchezaji huyo ambaye mpaka sasa jina lake halijatajwa itabainika hakukidhi vigezo. Msemaji wa Liverpool amesema: "Klabu inafahamu suala la kiutawala kuhusiana na mmoja wa wachezaji wetu". "Tunashirikiana na mamlaka husika ili kutafuta ukweli wa jambo hilo na hatutatoa majibu yoyote mpaka mchakato huu ukamilike". Msemaji wa EFL, amesema; "Kwa sasa tunalishughurikia hili suala". Kama watakutwa na hatia basi EFL w...

Maahindano ya Vijana mpira wa kikapu yafika tamati.

Image
Mashindano ya mpira wa kikapu (basketball) Zanzibar kesho jumapili tanatarajiwa kumaliza kwa msimu huu wa 2019. Mashindano hayo yaliyo shirikiaha timu 5 za mkoa wa mjini magharibi zukitokea wilaya zote tatu za mkoa huo. Akiongea na VisiWani Zanzibar katibu wa kamati ya vijana ya mpira wa kikapu Zanzibar,( BAZA ) ndugu Mohammed amesema mashindano hayo yamekuwa na msisimko mkubwa kwa timu shiriki mpaka wadau wa mchezo huo. Amesema wamefungua ukurasa kwa maendeleo ya kikapu Zanzibar jambo ambalo awali vijana walikuwa wakicheza kwenye timu kubwa tofauti na umri wao. Kilele chake ni tarehe 30 mwezi wa tisa 2019 kwenye uwanja wa Mao ze Dong . Kwa mujibu wa wadau wa mchezo huo wamesema nibora kiushindani mashindano hayo kuliko ligi zote zinazo chezwa za mpira wa kikapu.
Fibroids Ni Kitu Gani? Ni Nini Tiba Ya Fibroids? Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye uterus. Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Fibroids ni uvimbe ambao mara nyingi (asilimia 99) hauna madhara kiafya na wala kuhusiana na ugonjwa wa kansa. Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 hadi 50 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 30 hadi 50, wana fibroids ingawa wengi wao hawahangaiki kuchukua vipimo vya fibroids. Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo kama haragwe au kufikia ukubwa wa tikiti maji. Chanzo Cha Fibroids Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya musuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kuku...

captain wa ZFDC.... WAWA

Image

Muone mchezaji wa mpira wa miguu anaebeba dumu la maji kwa meno

Image
uwezo mkubwa wa kijana wa kizanzibar

Chaneza Waanzisha mashindano mapya ili kuupa hamasa mchezo huo.

Image
Mashindano ya mpira wa pete kwa kuadhimisha moaka 55ya mapindizi ya Zanzibar yanatarajiwa kukata utepe hapo kesho katika uwanja wa jimkana saa kumi za jioni timu nane za kike zitashiriki mashindano hayo. Akiongea na kipindi hiki katibu mkuu wa chama cha mpira wa pete zanzibar Saidi Ali Mansab amesema maandalizi kwa upande wao yamekamilika na kinachosubiriwa ni wakati na filimbi kupuulizwa. Amesema mashindano hayo yamepewa baraka na kamati ya sherehe na mapambo kwa kuwawezesha chama cha Netbal kuandaa mashindano hayo Mashindano ya Mapinduzi Cup kwa netball ni ya kwanza kufanyika hapa Zanzibar na kwa mujibu wa katibu wa chaneza amesema wanatarajia kuwa endelevu ili kila mwaka yaweze kufanyika kwani wana malengo makubwa ya baadae.