Wizara ya afya Zanzibar kwa kushirikian na taasisi ya THE SAME QUALITY FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya midomo wazi katika hospitali ya mkoa Lumumba ikiwa ni muendelezo wa kambi zinazofanywa na taasisi hio ili kuhakikisha watoto wenye tatizo la midomo wazi wanapatiwa matibabu. Akizungumza katika kambi hio Mkurugenzi na muazilishi wa Taasisi hio Dr Piter Mabula amesema takriban miaka kumi na moja taasisi hio imekua ikitoa huduma hio na imefanikiwa kufanya matibabu wa watu zaid ya 2500 kwa Tanzania bara na visiwani ambapo kwa zanzibbar zaid ya watu 200 wamepatiwa huduma hio Dr Piter Mabula Mkurugenzi wa taasisi ya THE SAME QUALITY FOUNDATION Kwa upande wake Dr Sumaiya Said Abud kutoka katika hospitali ya mkoa Lumumba amesema kambi hio ya siku tano inatarajia kufanya matibabu ya watoto 25 ambao tayar watoto hao wamefanyiwa uchunguzi wa awali Dr Sumaiya Said Abud hospitali ya mkoa Lumumba Sambamba na hayo sumaiya ametoa wito kwa wazazi na walezi wenye watoto wenye...
Posts
Showing posts from August, 2025